Zanzibar yapanga kuboresha usafiri kati ya Unguja na Pemba

ZANZIBAR — Rais wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, ametangaza mpango wa serikali wa kununua vyombo vipya vya usafiri wa abiria na kuandaa meli maalum ya kubeba mizigo, hatua inayolenga kutatua changamoto za muda mrefu za usafiri na lojistiki kati ya visiwa vya Unguja na Pemba, pamoja na kuimarisha uthabiti wa biashara katika Zanzibar. Akizungumza wakati … Continue reading Zanzibar yapanga kuboresha usafiri kati ya Unguja na Pemba