Madai kupiga risasi Oktoba 2025 kuchunguzwa

DAR ES SALAAM: Baada ya machafuko yaliyojitokeza kufuatia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025, baadhi ya madai yameibuka kwamba baadhi ya wananchi walipigwa risasi wakiwa ndani ya nyumba zao. Hii ni tuhuma nyeti inayogusa moja kwa moja haki za msingi za binadamu, ikiwemo haki ya kuishi na ulinzi wa kikatiba wa makazi ya … Continue reading Madai kupiga risasi Oktoba 2025 kuchunguzwa