• Kuhusu Sisi
  • Tangaza
  • Mawasiliano
  • Privacy & Policy
Tanzania Monitor Swahili
Advertisement
  • Mwanzo
  • Uchumi
  • Biashara
  • Rasilimali
  • Utalii & Utamaduni
  • Siasa
  • Vifafanuzi
  • Multimedia
  • Michezo
  • English
No Result
View All Result
  • Mwanzo
  • Uchumi
  • Biashara
  • Rasilimali
  • Utalii & Utamaduni
  • Siasa
  • Vifafanuzi
  • Multimedia
  • Michezo
  • English
No Result
View All Result
Tanzania Monitor Swahili
No Result
View All Result
Home Michezo

Waziri Mkuu awamwagia maua Taifa Stars Bungeni

Oliver Vicent by Oliver Vicent
February 6, 2026
in Michezo
Reading Time: 1 min read
0 0
0
Waziri Mkuu awamwagia maua Taifa Stars Bungeni
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

DODOMA, Tanzania: WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufikia hatua ya 16 bora fainali za Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2025 zilizomalizika mwezi uliopita nchini Morocco na kwamba mafanikio hayo yameitambulisha zaidi Tanzania.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo Februari 6, 2026 kwenye hotuba yake ya kuahirisha shughuli za Bunge la 13 Mkutano wa Pili ulioanza Januari 27, 2026.

“Nitumie fursa hii adhimu kuipongeza Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) kwa kufanikiwa kuandika historia kwa kufuzu hatua ya 16 Bora ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

Rais Museveni kutua Tanzania kesho

“Tangu kuanzishwa mashindano haya, Tanzania imefanikiwa kushiriki mara nne, mwaka 1980 nchini Nigeria; mwaka 2019 nchini Misri; mwaka 2023 nchini Ivory Coast na mwaka 2025 nchini Morocco ambapo tumeweka rekodi ya kuingia 16 bora.

“Mashindano ya AFCON hutazamwa na watu wengi duniani, hivyo, mafanikio haya yameiwezesha Tanzania kutambulika zaidi katika ramani ya soka barani Afrika na duniani kote,” amesema Dk Nchemba.

Tags: AFCON 2025Dk Mwigulu NchembaMichezoMoroccoMpira wa MiguuTaifa StarsTanzania

Related Posts

Bayi: Michezo, amani na umoja ni nguzo za kujenga jamii imara
Michezo

Bayi: Michezo, amani na umoja ni nguzo za kujenga jamii imara

April 11, 2026
Geay ampita Gudeta katika mbio za kusisimua na kutetea taji la Daegu.
Michezo

Geay ampita Gudeta katika mbio za kusisimua na kutetea taji la Daegu.

March 2, 2026
  • Trending
  • Comments
  • Latest

Hello world!

1

Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

0

macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

0

Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

0
Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

April 15, 2026
Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

April 15, 2026
Wabunge wapendekeza maboresho mikopo ya serikali

Wabunge wapendekeza maboresho mikopo ya serikali

April 15, 2026
Masoko ya mitaji yaimarisha uwekezaji wa wananchi

Masoko ya mitaji yaimarisha uwekezaji wa wananchi

April 15, 2026

Habari Mpya

Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

April 15, 2026
Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

April 15, 2026
Wabunge wapendekeza maboresho mikopo ya serikali

Wabunge wapendekeza maboresho mikopo ya serikali

April 15, 2026
Masoko ya mitaji yaimarisha uwekezaji wa wananchi

Masoko ya mitaji yaimarisha uwekezaji wa wananchi

April 15, 2026
Nchimbi awataka mabalozi kuimarisha diplomasia ya uchumi

Nchimbi awataka mabalozi kuimarisha diplomasia ya uchumi

April 15, 2026
Papa Leo aanza ziara ya siku 10 Afrika

Papa Leo aanza ziara ya siku 10 Afrika

April 15, 2026
Tanzania Monitor Swahili

Jukwaa la kimataifa la lugha nyingi linaloelezea uchumi wa Tanzania, uwekezaji, utamaduni, utalii na michezo kupitia taarifa za kuaminika zinazotokana na takwimu.

Tufuatilie

Vinjari kwa mgawanyo

  • Biashara
  • Habari Kuu
  • Michezo
  • Rasilimali
  • Siasa
  • Uchumi
  • Uncategorized
  • Utalii & Utamaduni
  • Vifafanuzi

Habari Mpya

Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

Tume ya uchunguzi yaibua imani ya uwazi

April 15, 2026
Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

Tanzania yataka ushirikiano wa teknolojia duniani

April 15, 2026
  • Kuhusu Sisi
  • Tangaza
  • Mawasiliano
  • Privacy & Policy

© 2026 Tanzania Monitor.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In

Add New Playlist

No Result
View All Result
  • Mwanzo
  • Uchumi
  • Biashara
  • Rasilimali
  • Utalii & Utamaduni
  • Siasa
  • Vifafanuzi
  • Multimedia
  • Michezo
  • English

© 2026 Tanzania Monitor.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?
Go to mobile version